TUZIKUMBUKE BENDI ZETU 1

 Nataka kuanzia leo niwazungushe mikoa mbalimbali ambako kulikuwa na bendi. Bendi nyingine zilikuwa maarufu mpaka kujulikana nje ya nchi yetu na nyingine hazikuwa maarufu au hazikudumu sana, lakini kuna wasanii wengi waliotoka kwenye bendi hizo ndogo na kuja kuwa maarufu nchini na hata duniani.Nianze na Kigoma, huu si mji ambao siku hizi unatajwa wakati ukiongelea…

Read More
Back To Top