TUKUMBUKE BENDI ZETU 2

Leo tunaendelea na safari ya kukumbuka bendi mbalimbali nchini, leo twende mkoa wa Mbeya. Tuanze na wilaya ya Mbeya, wilaya ambayo ni makao makuu ya mkoa siku hizi. Kabla ya mwaka 1927 wilaya hii ilikuwa ikijulikana kama wilaya ya Igali. Mji wa Mbeya ulianza  kupata umaarufu kutokana na kugundulika kwa dhahabu sehemu mbalimbali za kuzungukia…

Read More

BUGI LISINGEPIGWA MARUFUKU HISTORIA YA MUZIKI WA TANZANIA INGEKUWA TOFAUTI ?

Muziki wa Tanzania kama ilivyo katika nchi nyingine za Afrika umepitia katika milima na mabonde mengi sana, jambo ambalo ni kawaida kwa sanaa za aina zote. Hakuna shaka kabisa kuwa wanasiasa katika nchi yetu nao wamechangia sana katika kuufikisha muziki wetu hapa ulipo.  Nina hakika kuna jambo la kujifunza kwa wanasiasa wa sasa jinsi tamko…

Read More
Back To Top