BUGI LISINGEPIGWA MARUFUKU HISTORIA YA MUZIKI WA TANZANIA INGEKUWA TOFAUTI ?
Muziki wa Tanzania kama ilivyo katika nchi nyingine za Afrika umepitia katika milima na mabonde mengi sana, jambo ambalo ni kawaida kwa sanaa za aina zote. Hakuna shaka kabisa kuwa wanasiasa katika nchi yetu nao wamechangia sana katika kuufikisha muziki wetu hapa ulipo. Nina hakika kuna jambo la kujifunza kwa wanasiasa wa sasa jinsi tamko…
