BUGI LISINGEPIGWA MARUFUKU HISTORIA YA MUZIKI WA TANZANIA INGEKUWA TOFAUTI ?

Muziki wa Tanzania kama ilivyo katika nchi nyingine za Afrika umepitia katika milima na mabonde mengi sana, jambo ambalo ni kawaida kwa sanaa za aina zote. Hakuna shaka kabisa kuwa wanasiasa katika nchi yetu nao wamechangia sana katika kuufikisha muziki wetu hapa ulipo.  Nina hakika kuna jambo la kujifunza kwa wanasiasa wa sasa jinsi tamko…

Read More

TUZIKUMBUKE BENDI ZETU 1

 Nataka kuanzia leo niwazungushe mikoa mbalimbali ambako kulikuwa na bendi. Bendi nyingine zilikuwa maarufu mpaka kujulikana nje ya nchi yetu na nyingine hazikuwa maarufu au hazikudumu sana, lakini kuna wasanii wengi waliotoka kwenye bendi hizo ndogo na kuja kuwa maarufu nchini na hata duniani.Nianze na Kigoma, huu si mji ambao siku hizi unatajwa wakati ukiongelea…

Read More

Witchcraft in Tanzanian music…still very much alive

Belief in witchcraft is a culture that has existed in all human societies for thousands of years. History and various religious scriptures remind us of this through different interpretations. One might typically assume that as development and education increase, and scientific answers become available about various matters, belief in witchcraft would diminish and disappear. However,…

Read More
Back To Top