SHUGHULI ZA MUZIKI ENZI ZA MWALIMU NYERERE
Ni miaka 65 toka Tanganyika ipate Uhuru. Nchi sasa imepitia awamu 6 za uongozi wa juu wa serikali. Nimebahatika kuwa mwanamuziki katika awamu zote, leo ngoja niwasimulie ilikuwaje kuwa mwanamuziki enzi ya awamu ya kwanza, awamu ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.Mimi ni mzaliwa wa Iringa, nilipata bahati kuzaliwa katika nyumba ambayo muziki ulikuwa sehemu kubwa…
