JOHN KITIME

DANSI LIMEBADILIKA SANA

Kumbukumbu zangu huwa zinanirudisha Iringa nilipokuwa na umri wa miaka minne hivi. Nadhani ndipo nilipoanza kutambua kuwa wazazi wangu walikuwa wanajitayarisha kwenda dansini, nakumbuka sauti ya mama ikisema ‘Haya laleni sisi tunaenda dansini’. Mara ya kwanza kuona watu wakicheza dansi ilikuwa nyakati hizohizo. Pale ulipo sasa Uwanja wa Samora , kulikuwa na shule ya pili…

Read More

JERRY NASHON DUDUMIZI A MEMORABLE COMPOSER AND SINGER

Binadamu hanunuliwi kama nguo VIP Ungekuwa dukani ningekununua nikuweke ndani Lakini nikikuchukua bila mapenzi yako utanitoroka Binadamu hanunuliwi kama nguo VIP Ungekuwa dukani ningekununua nikuweke ndani Lakini nikikuchukua bila mapenzi yako utanitoroka These are some of the lyrics from the song  VIP. The song was composed by the very talented songwriter Jerry Nashon, popularly known…

Read More
Back To Top